Ijumaa, 15 Mei 2015

MKUU WA WILAYA YA RUNGWE MWL. ZAINABU MBUSI AFUNGUA MRADI WA UENDELEZAJI WA SEKTA YA MAZIWA AFRIKA MASHARIKI ULIOANZISHWA WIRAYANI RUNGWE

 Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mwl. Zainabu Mbusi Akiwahutubia wafugaji wa Ng'ombe Katika viwanja vya Shule ya Msingi Salemu Kyimo (K.K)


 Katibu Tawala Ndg. Moses Mashaka Akisoma taarifa kwa mkuu wa Wilaya ya Rungwe


  Mwl Elizabeth Sekile

 Diwani wa Kata ya Bulyaga Mhe. Mwalusamba Akiongea kwa niaba ya Waheshimiwa Madiwani wenzake.

 Mkuu wa Wilaya akijaza fomu ya Kujiunga na Mradi huo nakuwahamasisha wafugaji wengi kujiunga

 Akionesha Risiti aliyolipia pesa ya kujiunga.


 Wafugaji wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya Akihutubia

 Mkuu wa Wilaya akilisakata Kwaito wakati wa kufunga Mkutano huo.




Mkuu wa Wilaya ya Rungwe  Mwl. Zainabu Mbusi amesema kuwa itolewe elimu kwa vijana juu ya ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa ili kujipatia ajira ya kudumu ili kuepuka dhana ya kutegemea kuajiliwa na serikali.
Na amesisitiza kuwa ziteuliwe shule za sekondari kwa ajili ya kuwapa elimu ya kujitegemea vijana baada ya kuhitimu masomo yao.

alitoa lai kwamba kuna tabia mbaya sana inayopelekea wananchi wa Rungwe kuwa masikini sana, tabia ya kuchumbia Migomba ya Ndizi na kusisitiza kuwa ikomeshwe mala moja na badala yake wananchi wafuge Ng'ombe wa Maziwa ili kujikwamua na lindi la umasikini na kuachana na tabia ya kuchumbia Ndizi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni