Alhamisi, 29 Agosti 2013

MBEYA CITY YAITANDIKA RUVU SHOOTING BAO 2--1


 Mgeni rasmi meya wa jiji laMbeya Athanas Kapunga  akisalimiana na wachezaji wa Mbeya city kabla ya mechi kuanza

  
Meya wa jiji la Mbeya akiongea na timu zote mbili


  
Wachezaji wa timu ya Mbeya city wakishangilia ushindi baadya ya kuitandika Ruvu shooting




Kocha wa timu ya Ruvu shooting Charles Boniface Mkwasa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya mpira kwisha

  
Kocha wa timu ya Mbeya city Mwambusi akiongea na waandishi wa habari


 Mkurugenzi wa jiji la Mbeya Musa akimtania kocha wa timu ya Ruvu Charles Mkwasa 
 

TIMU YA MBEYA CITY IMEISHINDA KWA MAGOLI MAWILI DHIDI YA MOJA YA ROVU SHOOTING WAFUNGAJI WA MBEYA CITY NI PAUL NONGA DK 7 NA STEVEN MAZANDA DAKIKA YA 90 NA GOLI LA KUFUTIA MACHOZI LA RUVU LIMEFUNGWA NA AYUBU KITALA DK 25

Picha Na Mbeya yetu


Jumatano, 7 Agosti 2013

MGOMO WA COSTER WASABABISHA USUMBUFU NA KUPANDA KWA NAURI 5000/= KWA KICHWA KUTOKA TUKUYU KWENDA MBEYA NA KYELA NA MGOMO HUU PIA UPO KATIKA BARABARA YA TUNDUMA , CHIMALA NA MAKAMBAKO. SABABU NI SUMATRA KUTOWARUHUSU MAKONDAKTA KUSIMAMA.

 MADEREVA NA WAPIGA DEBE WAKIWA WAMESIMAMA STAND HAPO


 ABILIA WAKIWA KAMA KONDOO WALIOKIMBIWA NA MCHUNGAJI WAKISUBIRI LOLOTE LITOKEE.


 MALOLI YALIPOTAKA KUJITOLEA KUWASAIDIA ABILIA MADEREVA NA WAPIGADEBE WA KOSTA  WAKAWAGOMEA KUFANYA HIVYO.


 STAND HAKUNA KOSTER HATA MOJA!!!!!


 ABILIA WANAZAGAAZAGAA TU HAPO STAND WAKISUBIRI NEEMA ITOKEE.


 TAX ZILIJITOLEA KUPAKIA ABILIA KWA TSH 5000/=

ABILIA WAKIGOMBANIA KUINGIA KATIKA TAX HIZO, ASKARI WA USALAMA BARABARANI ALIINGILIA KATI NA KUWAONGOZA.