Alhamisi, 2 Aprili 2015

Mwanamke Afanyiwa Ukatili Wa Kutisha Na Mume Wake.....Achomwa Moto Kwa Petrol, Mtoto Wa Mwezi Mmoja Afariki Dunia



Machi 31 mwaka huu, mwanamke mmoja mkazi wa Bwai wilayani Butiama, Kudra Nanja alifanyiwa ukatili na mumewe wa kuchomewa ndani ya nyumba kwa petroli, tukio lililosababisha mtoto wake Tatu Simioni aliyekuwa na umri wa mwezi mmoja u nusu kufariki dunia.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni