Jumatano, 4 Machi 2015

MKUU WA MKOA WA MBEYA KANDORO AWAAPISHA WAKUU WAPYA WA WILAYA MBEYA


 Wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya kuwaapisha wakuu wa Wilaya Wapya iliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya jijini hapa.
 Pichani ni wakuu wa Wilaya  za Mkoa wa mbeya

 Kiongozi wa dini ya kiislam akisomna dua katika hafla hiyo

 Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Zainabu Mbussi akiapa mbele ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya 
 Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Ahmad Nammohe 
 Mkuu wa Wilaya ya Kyela Thea Ntara
 Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Nyerembe Munasa akizungumza kwa niaba ya wenzake 
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa 
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa dini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni