Alhamisi, 26 Machi 2015

JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA WILAYA YA RUNGWE WAFANYA MKUTANO .




Katibu tawala wilayani Rungwe Moses Mashaka aliyemuwakirisha mkuu wa wilaya hiyo,Zainabu Rajabu akitoa majibu mbele ya wafanyabiashara kuwa ofisi yake haijapokea ongezeko la kodi wala punguzo,
Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo ya Rungwe Abdul Fungo akifuatilia kwa makini mkutano huo.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanya Biashara Mkoa wa Mbeya Stephano Mwandiga akitoa ufafanuzi juu ya serikali kuwakandamiza  wafanya Biashara
Meneja wa TRA Wilaya ya Rungwe Poul Alalaze Akipitia sheria kabla ya kutoa majibu kwa wafanyabiashara.
Jumuiya ya Wafanyabiashara Wilayani Rungwe wakisikiliza Wageni na Viongozi waalikwa wakiwa katika mkutano uliofanyika jana




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni