Ijumaa, 13 Machi 2015

AJARI NYINGINE TENA :BASI LA ARUSHA EXPRESS LAPATA AJALI MBAYA YA KUGONGANA NA LORI


Ajali Arusha: Imetokea ajali ikilihusisha basi la Arusha Express Lenye namba za usajili T 206 BEF na Lori baada ya dereva wa basi kujaribu ku-overtake na kukutana na lori mbele yake






- Hakuna vifo isipokuwa abiria wa Lori ndio wameumia na kukimbizwa Hospitali, na basi hilo lilikuwa likitoka Arusha Kuelekea jijini Mbeya leo asubuhi

taarifa zaidi utazidi kuzipata hapa hapa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni