Jumatatu, 1 Desemba 2014

HIV:Wagonjwa wakosa matibabu DRC


Wakati nchi nyingi Afrika zimepiga hatua kwa kuwahudumia wagonjwa wenye virusi vya HIV, hali ni tofauti huko Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Shirika la madaktari wasio na mipaka MSF limesema imekua vigumu kwa wagonjwa wa ukimwi nchini humo kupata matibabu.
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya Maradhi ya Ukimwi, Mwandishi wetu wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Byobe Malenga amezungumza na mmoja wa wagonjwa wa Ukimwi ambae hakutaka kutajwa jina lake kwa hofu ya unyanyapaa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni