Jumatano, 30 Oktoba 2013

BREAKING NEWS LIVE MUDA HUU: MTOTO JOSHUA ISACK MIAKA 4 ALIEPOTEA AKIWA ANACHEZA NA WATOTOWENZAKE JUZI AKUTWA AMEFARIKI NDANI YA SHIMO LA CHOO CHA JIRANI.

 Huu ni Mwili wa Marehemu Joshua Isack Miaka 4 baada ya kutolewa Chooni.


 Wananchi wakiwa katika hali ya majonzi mazito sana.


Picha kamili na Habari Kesho.. endelea kufuatilia 

Picha na Mbeya yetu Blog


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni