Jumatatu, 1 Juni 2015

MH. PROFESA JAMES MARK MWANDOSYA ATANGAZA NIA YA KUOMBA KUWANIA URAIS KWA TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI. KAULI MBIU NI KWA PAMOJA TUTAIJENGA TANZANIA TUNAYOITAKA.

Wafuasi wa Profesa Mwandosya wakiingia na mabango kwenye uwanja wa tukio

Profesa Mwandosya pamoja na familia yake wakiwasili eneo la tukio

Profesa Mwandosya pamoja na Mke wake wakipiga makofi mara baada ya kuwasili eneo la mkutano

Mke wa Profesa Mwandosya Bi Lucy Mwandosya akiwasalimia wananchi




Wananchi wakiwa wamefurika katika eneo la mkutano kumsikiliza Profesa Mwandosya akitangaza nia ya kugombea uraisi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni