Alhamisi, 26 Septemba 2013

Serikali yakabidhi gari ya chanjo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo

 Mganga Mkuu wa Serikali Dk. Donan Mmbando akielezea hali ya huduma za chanjo nchini katika hafla fupi ya kukabidhi gari aina ya ‘Toyota double Cabin’ kwa ajili  ya huduma ya chanjo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo lenye thamani ya  Sh. milioni 38  iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Wizara ya  Afya na Ustawi wa Jamii jijini Dar esSalaam.

 Katibu Mkuu wa Wizara  ya Afya na Ustawi wa Jamii,Charles Pallangyo akizungumzia na waandishi wa habari katika hafla fupi ya kukabidhi gari   aina ya ‘Toyota double Cabin’ kwa ajili  ya huduma ya chanjo kwa Halimashauri ya Wilaya ya Busokelo lenye thamani ya  Sh. Milioni 38  jijini Dares Salaam.Kulia ni Waziri  wa  nchi  Ofisi ya Rais (Kazi maalumu), Profesa Mark Mwandosya.

Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Meckson Mwakipunga(aliyesimama) akiishukuru Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa msaada wa gari hilo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Rungwe,Crispin Meelana kulia ni Mganga Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Dk. Gilibert Tarimo.

Mwenyekiti wa halmashauri hiyo,Meckson Mwakipunga akijaribu kuendesha gari walilopewa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii jijini Dares Salaam. 

 

 Waziri  wa  nchi  Ofisi ya Rais (Kazi maalumu), Profesa Mark Mwandosya(kulia) akijadiliana jambo na baadhi ya watu wakati  hafla fupi ya kukabidhi gari   aina ya ‘Toyota double Cabin’ kwa ajili  ya huduma ya chanjo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo lenye thamani ya  Sh. Milioni 38  jijini Dares Salaam.

 

Waziri  wa  nchi  Ofisi ya Rais (Kazi maalumu), Profesa Mark Mwandosya wa pili (kuliambele) akiwa katika picha ya pamoja na  baadhi ya watu wakati  hafla fupi ya kukabidhi gari   aina ya ‘Toyota double Cabin’ kwa ajili  ya huduma ya chanjo kwa Halimashauri ya Wilaya ya Busokelo lenye thamani ya  Sh. milioni 38  jijini Dares Salaam. 

(Picha zote na Magreth Kinabo –MAELEZO).






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni