Jumatatu, 20 Mei 2013

UWANJA WA MPIRA TUKUYU WABADILISHIWA MATUMIZI, WAMETENGEWA MACHINGA, WAUZA MATUNDA, MBOGA MBOGA, DARADARA NA TAX. WATAKUWA HAPO KWA MUDA WAKATI WAKISUBILI ENEO LA KIBISI KIKAMILIKA AMBAKO ITAJENGWA STAND KUU NA ENEO LA BIASHARA ZAO. LENGO NI KUWATOA MAENEO HATALISHI, PEMBEZONI MWA BARABARA KUU KWA KUHOFIA AJALI.

Vijana wakiwa katika harakati za kuweka alama za vibanda.

Vijana wakiwa katika harakati za kuweka alama za vibanda.

Hili ni eneo la uwanja lililotengwa na kwa ajili yao

Hili ni eneo la uwanja lililotengwa na kwa ajili yao





Afisa Mtendaji Mamlaka ya mji Mdogo  Ndg Livinston Mwakipesile akisimamia ugawaji wa viwanja hivyo



Afisa Mtendaji Kata Msaidizi Ndg Gerban Chale akisimamia ugawaji wa viwanja








Haya ni maeneo hatalishi ambayo wanatakiwa waondoke machinga





Picha na Rungwe Yetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni