Alhamisi, 6 Februari 2014

MVUA KUBWA ZILIZONYESHA JIJINI MBEYA ZALETA MAFURIKO NA UHARIBIFU ENEO LA ILOLO ANGALIA PICHA

Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 akilia kwa uchungu kuwa vitu vyote vya ndani vimeharibika pia anamshukuru mungu kumponya na mafuriko hayo kwani alikuwa amelala maji ndiyo yamestua kitandani kwani maji yaliingia mpaka ndani


Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake









Mwenyekiti wa mataa Sinde A  Anyandwile Mwansanu akiongea na waandishi wa habari

Hakika inasikitisha watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa ilionyesha jijini Mbeya  wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani



Kanisa la Moravian Ilolo likiwa limejaa maji ndani







 Mama na Mtoto Wake wakiwa hawajui waanzie wapi kutoa maji yaliyojaa katika nyumba yao




 Wananchi hawajui wafanyaje, wanalalamika kila mtu kwa jinsi alivyokumbwa na janga hili.



 Picha na Mbeya yetu



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni